Page 33 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 33
Fasihi ya Kiswahili Shule za Sekondari
Shughuli ya 3.9
Hatua za ufundishaji
(ii) Waongoze wanafunzi kukaa katika vikundi na kujadili shughuli
FOR ONLINE READING ONLY
ya 3.9 iliyomo kwenye Kitabu cha Mwanafunzi, kisha kufanya
uwasilishaji, hakikisha kila mwanafunzi anashiriki katika
uwasilishaji. Rekebisha upungufu unaojitokeza wakati wa
uwasilishaji.
Majibu
Majibu ya shughuli ya 3.9 yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
Katika shughuli hii, mwanafunzi aeleze maana na misingi ya nadharia
ya uhalisia katika kuhakiki kazi za kifasihi.
Shughuli ya 3.10
Hatua za ufundishaji
(i) Waongoze wanafunzi kukaa katika vikundi na kujadili shughuli
ya 3.10 iliyomo kwenye Kitabu cha Mwanafunzi, kisha
kufanya uwasilishaji, hakikisha kila mwanafunzi anashiriki
katika uwasilishaji. Rekebisha upungufu unaojitokeza wakati
wa uwasilishaji.
Majibu
Majibu ya shughuli ya 3.10 yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
Katika shughuli hii, mwanafunzi aeleze maana na misingi ya nadharia
ya mwitiko wa msomaji katika kuhakiki kazi za kifasihi.
Shughuli ya 3.11
Hatua za ufundishaji
(i) Kukaa katika vikundi na kujadili shughuli ya 3.11 iliyomo
kwenye Kitabu cha Mwanafunzi kisha kufanya uwasilishaji,
Kiongozi cha Mwalimu 27
Kidato cha Tano
23/06/2024 17:48
FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd 27 23/06/2024 17:48
FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd 27