Page 50 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 50

Fasihi ya Kiswahili  Shule za Sekondari


                  inayopatikana katika nyimbo hizo, huku mwanafunzi akichukua
                  nukuu.

             (ii)  Waongoze wanafunzi kukusanya kazi zao. Sahihisha kazi ya
                  kila mwanafunzi na toa mrejesho kwa wanafunzi wote.
           FOR ONLINE READING ONLY
           Majibu

           Majibu ya shughuli ya 4.9 (b) yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
           Katika shughuli hii, mwanafunzi atachambua mitazamo inayopatikana
           katika nyimbo alizozichambua.

           Shughuli ya 4.10(a)

           Hatua za ufundishaji

             (i)   Waongoze wanafunzi kusoma au kughani shairi la shughuli ya
                  4.10 (a) lililomo kwenye Kitabu cha Mwanafunzi, kisha kukaa
                  katika jozi ili kuchambua mitazamo iliyomo katika shairi hilo
                  huku wakinukuu.

             (ii)  Waelekeze wanafunzi kukusanya kazi zao. Sahihisha kazi zao
                  na toa mrejesho.

           Majibu

           Majibu ya shughuli ya 4.10 (a) yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
           Katika shughuli hii, mwanafunzi atachambua mitazamo iliyomo katika
           shairi alilopewa.

           Shughuli ya 4.10(b)

           Hatua za ufundishaji

             (i)   Waongoze  wanafunzi  kukaa  katika  jozi  kuchambua  shughuli
                  ya 4.10 (b) iliyomo  kwenye Kitabu  cha  Mwanafunzi,  kisha
                  wawasilishe  kwa majadiliano  zaidi.  Rekebisha  dosari pale
                  zinapojitokeza na toa mrejesho wa shughuli hiyo kwa wakati.



             44                                        Kiongozi cha Mwalimu
                                                          Kidato cha Tano



                                                                            23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   44    23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   44
   45   46   47   48   49   50   51   52   53   54   55