Page 53 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 53

Fasihi ya Kiswahili  Shule za Sekondari


                  jozi, kisha kufanya shughuli ya 4.12 (b) iliyomo kwenye Kitabu
                  cha Mwanafunzi. Katika majadiliano, kila mwanafunzi aandike
                  uchambuzi wake.

             (ii)  Waelekeze  wanafunzi kukusanya kazi zao, sahihisha na toa
           FOR ONLINE READING ONLY
                  mrejesho.

           Majibu

           Majibu ya shughuli ya 4.12 (b) yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
           Katika shughuli hii, mwanafunzi atachambua na kuhusianisha mitazamo
           na matendo ya jamii kwenye wimbo mmoja wa bongo fleva.

           Shughuli ya 4.13(a)

           Hatua za ufundishaji

             (i)   Waongoze wanafunzi kusoma au kughani shairi lililomo kwenye
                  shughuli ya 4.13 kwenye Kitabu cha Mwanafunzi, kisha kukaa
                  katika jozi na kuchambua uhusiano wa mitazamo na matendo
                  ya jamii kwa kuongozwa na maswali yaliyomo katika shughuli
                  ya 4.13 (a) iliyomo kwenye Kitabu cha Mwanafunzi.

             (ii)  Waongoze     wanafunzi    kuwasilisha   darasani   shughuli
                  waliyoifanya.  Hakikisha  ushiriki  wa  kila  jozi  wakati  wa
                  uwasilishaji ili kupata mawazo ya kila mmoja. Rekebisha
                  upungufu unaojitokeza wakati wa uwasilishaji

             (iii)  Hitimisha kwa kutoa maelezo ya jumla kuhusiana na shughuli
                  waliyoiwasilisha
           Majibu

           Majibu ya shughuli ya 4.13 (a) yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
           Katika  shughuli hii,  mwanafunzi  atachambua  shairi  na  kuhusianisha
           mitazamo na matendo ya jamii kwa kuongozwa na maswali yaliyotolewa.






                 Kiongozi cha Mwalimu                                    47
                    Kidato cha Tano



                                                                            23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   47    23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   47
   48   49   50   51   52   53   54   55   56   57   58