Page 51 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 51

Fasihi ya Kiswahili  Shule za Sekondari


           Majibu
           Majibu ya shughuli ya 4.10 (b) yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
           Katika shughuli hii, mwanafunzi atachambua mitazamo iliyomo katika
           mashairi  mawili  atakayokuwa ameyachambua  kutoka  katika  diwani
           FOR ONLINE READING ONLY
           teule.

           Shughuli ya 4.11(a)

           Hatua za ufundishaji

             (i)   Waongoze wanafunzi kusoma kipande cha tamthiliya
                  kilichomo katika shughuli ya 4.11(a) iliyomo kwenye Kitabu
                  cha Mwanafunzi, kisha wajibu maswali yanayofuata baada ya
                  kipande hicho.

             (ii)  Waelekeze wanafunzi kukusanya kazi zao kisha sahihisha na
                  toa mrejesho darasani.
           Majibu


           Majibu ya shughuli ya 4.11(a) yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
           Katika shughuli hii, mwanafunzi atachambua mitazamo kutoka kwenye
           kipande  cha  tamthiliya  alichokisoma  kwa kuongozwa  na  maswali
           aliyopewa.

           Shughuli ya 4.11(b)

           Hatua za ufundishaji

             (i)   Waelekeze wanafunzi kukaa katika jozi kuchambua shughuli
                  ya 4.11(b) iliyomo  kwenye Kitabu cha Mwanafunzi, kisha
                  kuwasilisha darasani kwa majadiliano zaidi.

             (ii)  Rekebisha upungufu unaojitokeza wakati wa uwasilishaji huo.








                 Kiongozi cha Mwalimu                                    45
                    Kidato cha Tano



                                                                            23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   45    23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   45
   46   47   48   49   50   51   52   53   54   55   56