Page 52 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 52

Fasihi ya Kiswahili  Shule za Sekondari


           Majibu

           Majibu ya shughuli ya 4.11(b) yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.

           Katika  shughuli  hii,  mwanafunzi  atachambua  mitazamo  iliyomo
           FOR ONLINE READING ONLY
           katika tamthiliya teule mbili.


             Somo la 4:  Kuhusianisha mitazamo iliyomo katika bongo fleva,
                        mashairi na tamthiliya na matendo ya jamii


           Shughuli ya 4.12(a)

           Hatua za ufundishaji

             (i)   Waongoze  wanafunzi  kutumia  vyanzo vya mkondoni au
                  vinginevyo kupakua na kusikiliza au kutazama video za nyimbo
                  za bongo fleva, kisha kukaa katika vikundi kujadili shughuli ya
                  4.12 (a) iliyomo kwenye Kitabu cha Mwanafunzi.
             (ii)  Waelekeze wanafunzi kuwasilisha kazi waliyoifanya, hakikisha
                  ushiriki  wa kila  kikundi  wakati  wa uwasilishaji.  Rekebisha
                  upungufu unaojitokeza.

             (iii)  Hitimisha kwa kutoa maelezo ya jumla kuhusiana na shughuli
                  waliyoiwasilisha.

           Majibu

           Majibu ya shughuli ya 4.12 (a) yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
           Katika shughuli hii, mwanafunzi atachambua mitazamo ya nyimbo za
           bongo fleva atakazokuwa amezichambua.


           Shughuli ya 4.12(b)

           Hatua za ufundishaji

             (i)   Waongoze wanafunzi kutumia vifaa vya TEHAMA kupakua na
                  kusikiliza au kutazama video za nyimbo za bongo fleva katika

             46                                        Kiongozi cha Mwalimu
                                                          Kidato cha Tano



                                                                            23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   46    23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   46
   47   48   49   50   51   52   53   54   55   56   57