Page 58 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 58
Fasihi ya Kiswahili Shule za Sekondari
wakati wa uwasilishaji. Hakikisha wanafunzi wanachukua
nukuu wakati wa uwasilishaji.
Majibu
FOR ONLINE READING ONLY
Majibu ya shughuli ya 4.17(a) yatatokana na uelewa wa mwanafunzi.
Katika shughuli 4.17(a), mwanafunzi atachambua athari za kiimani
na mitazamo katika matini fupi ya tamthiliya iliyotolewa.
Shughuli ya 4.17(b)
Hatua za ufundishaji
(i) Waongoze wanafunzi kukaa katika vikundi na kujadili shughuli
ya 4.17 (b), kisha kuwasilisha darasani kwa majadiliano zaidi,
huku ukiboresha upungufu unaojitokeza wakati wa uwasilishaji.
(ii) Hitimisha kwa kutoa maelezo ya jumla kuhusiana na shughuli
husika.
Majibu
Majibu ya shughuli ya 4.17(b) yatatokana na uelewa wa
mwanafunzi. Katika shughuli hii, mwanafunzi atachambua
athari za kiimani na kimtazamo zilizomo katika tamthiliya
teule.
(iii) Waelekeze wanafunzi kukaa katika vikundi kufanya maswali ya
tamrini yaliyomo kwenye Kitabu cha Mwanafunzi. Sahihisha na
toa mrejesho kwa wakati.
Majibu
Majibu ya maswali ya tamrini yatatokana na uelewa wa mwanafunzi na
mahitaji ya swali husika.
52 Kiongozi cha Mwalimu
Kidato cha Tano
23/06/2024 17:48
FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd 52
FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd 52 23/06/2024 17:48