Page 64 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 64

Fasihi ya Kiswahili  Shule za Sekondari


             (iii)  Waongoze wanafunzi kufanya uwasilishaji. Chagua vikundi
                  vichache  ili kuwakilisha  vingine.  Katika  uwasilishaji,
                  hakikisha  kila mwanafunzi  anashiriki  kwa kutoa  maoni  au
                  kuuliza maswali ili kuendeleza majadala. Rekebisha dosari pale
           FOR ONLINE READING ONLY
                  zitakazojitokeza.
             (iv)  Waelekeze wanafunzi kukusanya na kusahihisha kazi ya kila
                  mwanafunzi ili kuondoa dosari zinazojitokeza na toa mrejesho
                  kwa wanafunzi wote.
           Majibu


             (i)   Majibu  ya  shughuli  ya  5.4 (a)  yatategemea  uelewa  wa
                  mwanafunzi  na tamthiliya teule  atakazozitumia katika
                  uchambuzi. Katika uchambuzi, mwanafunzi azingatie misingi
                  ya  ujumi  ili  kuitumia  kuhakiki  mbinu  za  kiujumi kwenye
                  kipande cha tamthiliya.

           Shughuli ya 5.4 (b)
           Hatua za ufundishaji


             (i)   Waongoze wanafunzi kusoma tamthiliya  mbili teule kama
                  inavyoelekezwa  katika  shughuli ya 5.4 (b) iliyomo  kwenye
                  Kitabu cha Mwanafunzi.

             (ii)  Waongoze wanafunzi kuchambua mbinu zilizotumika kujenga
                  ujumi katika tamthiliya teule, kisha chagua wanafunzi wachache
                  wawasilishe  kwa niaba  ya wenzao.  Ongoza mjadala  kisha
                  rekebisha upungufu unaojitokeza.

           Majibu
           Majibu ya shughuli ya 5.4 (b) yatategemea uelewa wa mwanafunzi na
           tamthiliya teule atakazozitumia mwanafunzi katika uchambuzi. Katika
           uchambuzi,  mwanafunzi azingatie  mbinu za kiujumi  zilizotumituka
           katika tamtiliya hizo.




             58                                        Kiongozi cha Mwalimu
                                                          Kidato cha Tano



                                                                            23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   58
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   58    23/06/2024   17:48
   59   60   61   62   63   64   65   66   67   68   69