Page 75 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 75
Fasihi ya Kiswahili Shule za Sekondari
Majibu
Majibu ya shughuli ya 5.14 yatategemea uelewa wa mwanafunzi
kwa kuzingatia mada aliyoichagua. Katika utunzi wa malumbano
hayo, mwanafunzi aoneshe namna anavyowasilisha hoja zenye
FOR ONLINE READING ONLY
mantiki na ushawishi.
(iv) Kufanya maswali ya tamrini yaliyomo kwenye Kitabu cha
Mwanafunzi kisha, sahihisha na kuondoa makosa yanayoweza
kujitokeza.
Majibu
Majibu ya tamrini yatategemeana na uelewa wa mwanafunzi.
Pia, unaweza kupima namna mwanafunzi anavyoweza
kuhawilisha maarifa na mazingira ya maisha halisi.
Kiongozi cha Mwalimu 69
Kidato cha Tano
23/06/2024 17:48
FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd 69 23/06/2024 17:48
FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd 69