Page 80 - Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari Kiongozi cha Mwalimu Kidato cha Tano
P. 80

Fasihi ya Kiswahili  Shule za Sekondari


           kwenye mtandao ya  kijamii  hutegemea  aina  ya mtandao  wa kijamii
           atakaoutumia  mwanafunzi. Zifuatazo  ni hatua za jumla  ambazo
           zinaweza kufuatwa na mtumiaji wa mtandao wowote :


             •   Kuwa na kifaa za kinachoweza kupokea programu za kimtandao
           FOR ONLINE READING ONLY
                 wa kijamii;

             •   Kuunganisha vifaa hivyo na kifurushi cha data;

             •   Kupakua na kusakinisha programu ya mtandao  wa kijamii
                 utakaoutumia  katika  kifaa  kama  vile  simu,  kishikwambi  na
                 kompyuta;

             •    Kuandaa kazi katika nakala tepe au sauti au video;


             •   Chapisha kwenye mtandao wa kijamii; na

             •   Kuendelea kufuatilia maoni ya hadhira wasikilizaji watazamaji
                 na wasomaji wa kazi husika ya kifasihi.


           Shughuli ya 6.4

           Hatua za ufundishaji

             (i)   Waongoze wanafunzi kufanya shughuli ya 6.4 iliyomo kwenye
                  Kitabu  cha  Mwanafunzi,  kisha kila  mwanafunzi atumie
                  TEHAMA kusoma na kuandika kwenye daftari na kukusanya.
             (ii)  Rekebisha upungufu unaojitokeza kwenye kazi wanazozifanya
                  wanafunzi.

           Majibu

           Majibu ya shughuli ya 6.4 yatatokana uelewa wa mwanafunzi na yale
           yaliyomo kwenye Kitabu cha Mwanafunzi.







             74                                        Kiongozi cha Mwalimu
                                                          Kidato cha Tano



                                                                            23/06/2024   17:48
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   74
     FASIHI YA KISWAHILI KIONGOZI  CHA MWALIMU KIDATO CHA TANO.indd   74    23/06/2024   17:48
   75   76   77   78   79   80   81   82   83   84   85