Page 100 - Fasihi_Kisw_F5
P. 100

Fasihi ya Kiswahili  kwa Shule za Sekondari





                                Zoezi la 3.3



                 1.   “Katika kuhakiki kazi za kifasihi, mhakiki hujiegemeza katika vipengele
          FOR ONLINE READING ONLY
                     mbalimbali  vya nadharia”.  Jadili  kauli  hii  kwa kutumia  mifano  ya
                     nadharia mbili unazozipenda.

                 2.   Jadili namna vipengele  vya kifani katika  shairi vinavyotofautiana  na
                     vipengele vya kifani katika tamthiliya.

                 3.   Jadili vipengele vya maudhui vinavyopatikana katika mashairi mawili
                     kutoka diwani teule ulizosoma.





                Tamrini
                 1.   Kwa kutumia mifano, tofautisha dhana zifuatazo:

                     (a)  fani na maudhui

                     (b)  nadharia na uhakiki

                     (c)  mtindo na muundo

                     (d)  tamathali za usemi na mbinu nyingine za kisanaa



                 2.   Fafanua  kwa  kina  nadharia  zifuatazo  ukizingatia  maana,  misingi  na
                     matumizi yake katika uchambuzi wa kazi za kifasihi:
                     (a)  uhalisia

                     (b)  umuundo

                     (c)  mwingilianomatini


                     (d)  umaksi

                     (e)  mwitiko wa msomaji

                     (f)  ufeministi







                     Kitabu cha Mwanafunzi                                            89
                        Kidato cha Tano



                                                                                            23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   89                    23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   89
   95   96   97   98   99   100   101   102   103   104   105