Page 101 - Fasihi_Kisw_F5
P. 101

Fasihi ya Kiswahili  kwa Shule za Sekondari




                 3.   Kwa kutumia mifano ya kutosha, tofautisha mitazamo ya kidhanifu na
                     kiyakinifu kuhusu fani na maudhui.

                 4.   “Nadharia za kifasihi humlemaza mhakiki”. Jadili.
          FOR ONLINE READING ONLY
                 5.   “Usomaji na uelewa wa kazi fulani ya fasihi hutofautiana baina ya mtu
                     mmoja na mwingine”. Thibitisha kauli hii kwa kuchambua tamthiliya
                     teule moja huku ukitumia nadharia ya mwitiko wa msomaji.

                 6.   Chagua nadharia mbili za kihakiki kisha uzitumie kuchambua tamthiliya
                     mbili teule.

                 7.   “Suala la ukandamizaji  na unyanyasaji wa wanawake katika jamii
                     linapigiwa kelele na waandishi mbalimbali wa kazi za fasihi”. Tumia
                     nadharia ya ufeministi kuthibitisha kauli hiyo kwa kuhakiki tamthiliya
                     teule mbili.

                 8.   Hakiki tamthiliya  teule  mbili  za waandishi chipukizi  kwa kutumia
                     nadharia ya mwingilianomatini.

                 9.   “Hakuna jamii isiyokuwa na matabaka”.  Tumia nadharia  ya umaksi
                     kuhakiki kauli hiyo katika tamthiliya teule mbili.

                 10.  “Kwa kuwa kila msanii na msomaji wa kazi za fasihi ni mhakiki, hakuna
                     haja ya kuwa na mtu anayejiita mhakiki”. Kubali au kanusha dai hili kwa
                     hoja maridhawa.






























                90                                                 Kitabu cha Mwanafunzi
                                                                     Kidato cha Tano



                                                                                            23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   90
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   90                    23/06/2024   17:54
   96   97   98   99   100   101   102   103   104   105   106