Page 133 - Fasihi_Kisw_F5
P. 133

Fasihi ya Kiswahili  kwa Shule za Sekondari




              (b)  Kwa kutumia maktaba au kifaa chochote cha kidijiti, pakua kazi yoyote
                   ya majigambo, kisha chambua mbinu ambazo mtunzi amezitumia kujenga
                   ujumi katika kazi hiyo.

              Mbinu zilizotumika kujenga ujumi katika tamthiliya
          FOR ONLINE READING ONLY
               Shughuli ya 5.4

              (a)  Soma matini ifuatayo, kisha jibu maswali yanayofuata.
                   Miguu ya Bi. Kirembwe:  Na mimi pia nilichukuwa kwenye miendo yako ya
                                           kichawi ya kuhusudu na kuangamiza…

                   Bi. Kirembwe:   Na miguu pia? (Anaishika miguu) Nisaidieni! (Anaiendea
                                    hadhira, lakini zile sauti za nje zinajongea karibu)

                   Sauti Nyingi:      (Kutoka nje ambako zinajongea ndani) Sisi ni vizazi vipya
                                    vya Gininigi,

                                    Vizazi vya walioangamia …

                                    Vizazi vya waliodidimia …

                                    Sisi sasa tuna kinywa kipana …

                                    Tuna uwezo wa kuamua tunavyotaka,

                                    Kuamua wenyewe … kwa maslahi ya sote …
                                    Hatutachagizwa tena na uchawi,

                                    Tunakuja … tunakuja …

                   Bi. Kirembwe:   Jamani wazuieni … (Anaiambia hadhira), jamani wazuieni
                                    wasije kuni …
                                    (Anatetemeka)


                   Sauti:           Ah, hata wewe Bi. Kirembwe leo unagwaya?

                                      Unatetemeka kama unjukuti unaopeperushwa na upepo?
                                    Unalia kama mtoto mchanga au mwanamke aliyefiwa na
                                    mumewe? Unahofu matokeo ya matendo yako mwenyewe
                                    …

                                    Huu, kama ulivyokwisha sema, ni mchezo wa wakati:




               122                                                 Kitabu cha Mwanafunzi
                                                                     Kidato cha Tano



                                                                                            23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   122
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   122                   23/06/2024   17:54
   128   129   130   131   132   133   134   135   136   137   138