Page 134 - Fasihi_Kisw_F5
P. 134

Fasihi ya Kiswahili  kwa Shule za Sekondari




                                      Wakati unaojibadilisha kama kinyonga,

                                      Wakati unaofuata mahitaji ya wavunja-sheria

                                    Na wafuata-sheria wakati mmoja, sawia;
          FOR ONLINE READING ONLY

                                      Kufuata  mahitaji  na himaya  ya nafsi moja  dhidi  ya
                                    nyingine …


                                      Wakati unaowaridhi wawamba-ngoma …

                                      Wakati wenye moyo wa kusubiri mpaka nukta ya mwisho
                                    ifike …

                                      Hata ikiwa miaka, karne kwa karne …


                                      Kungojea mwisho wa mwanzo, utakaposema:

                                      “Ho! Sasa basi tena … hatesi mtesi na kufululiza …”

                                      Wakati, mhodhi wa matatizo

                                      Na unaoona leo na kesho


                                      Na hatimaye kulipa baina ya wagomvi wawili

                                      Baina ya nguvu mbili zinazovutana …

                   Bi. Kirembwe:   Hakika wakati si wangu tena … (Anapiga kelele na kulia
                                    huku akijibanza kipembeni …)

                                           Kivuli Kinaishi (Mohamed, 1990:128-129)


                   Maswali

                   (i)  Ni kwa namna gani mbinu ya utanzia imetumika kujenga ujumi katika
                        matini hii?

                   (ii)  Mbinu ya taharuki imetumikaje kujenga ujumi katika matini hii?

                   (iii)  Ni kwa namna gani mbinu ya ujadi imetumika kujenga ujumi katika
                        matini hii?





                     Kitabu cha Mwanafunzi                                           123
                        Kidato cha Tano



                                                                                            23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   123                   23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   123
   129   130   131   132   133   134   135   136   137   138   139