Page 140 - Fasihi_Kisw_F5
P. 140

Fasihi ya Kiswahili  kwa Shule za Sekondari




                   Bi Tano:    [Amekasirika  zaidi]:  Kila    nilipokwenda    wananiambia
                            wameshanunua vya kutosha. Sasa mimi ningewalazimisha?

                   Bi Moja:  Biashara inataka bembeleza eti.
          FOR ONLINE READING ONLY
                   Bi Nne:     Eee. Unasema maneno matamu matamu. Basi hivihivi tu watu
                            watanunua?

                   Bi Tano:   Basi chukueni muende mkauze wenyewe


                            [Anaondoka amekasirika]

                   Bi Moja:  Huyo Bi Tano mwacheni. Kichwa chake kibovu.

                              Jamani saa imekwisha. Hebu tugawane hivi vitambaa kila mtu
                            akauze katika eneo lake.

                            [Wote wanagawana vitambaa]


                   Bi Nne:    Haya maarifa mazuri. Jamani tujitahidi tukikutana wiki ijayo kila
                            mtu awe ameshauza vya kwake.

                                    Nguzo Mama (Muhando, 2007: 16–17)

                   Maswali


                   (i)  Ni maana  zipi zinazopatikana katika  sentensi isemayo “Biashara
                        inataka kubembeleza eti.”
                   (ii)  Mvutano baina ya Bi Tano na wenzake unaibua maana zipi?

                   (iii)  Mitazamo  ya wahusika katika kipande hiki cha tamthiliya  inaibua
                        maana zipi za kiujumi?

                   (iv)  Ni mbinu gani zimetumika kupata maana kutoka katika kipande hiki
                        cha tamthiliya?
                   (v)  Ni maana zipi nyingine unazoweza kuibua kutokana na kipande hiki
                        cha tamthiliya?


              (b)  Chambua maana mbalimbali zinazopatikana katika tamthiliya mbili teule.







                     Kitabu cha Mwanafunzi                                           129
                        Kidato cha Tano



                                                                                            23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   129                   23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   129
   135   136   137   138   139   140   141   142   143   144   145