Page 170 - Fasihi_Kisw_F5
P. 170

Fasihi ya Kiswahili  kwa Shule za Sekondari




                   (vi)  Mkulima shujaa
                   (vii) Marafiki

                   (viii) Haki za watoto
          FOR ONLINE READING ONLY
                   (ix)  Ndoto ya ajabu

                Tamrini

                 1.   Tofautisha kazi za kifasihi na zisizo za kifasihi.

                 2.   Kwa kutumia mifano, fafanua miktadha inayoweza kuchochea uandishi
                     wa kazi za kifasihi.

                 3.   Jadili dai kwamba uandishi wa kazi za fasihi hauna faida yoyote

                 4.   “TEHAMA haina mchango wowote katika kupata fursa za uandishi wa
                     kazi za fasihi.” Jadili.

                 5.   Kwa kutumia mifano, eleza kanuni za utunzi wa maigizo.

                 6.   Fafanua hatua za kuzingatia wakati wa uandishi wa mashairi


                 7.   Tunga mashairi mawili ya kimapokeo na mawili ya kisasa.

                 8.   Buni mada mbili unazozipenda kisha andika hadithi za watoto kwa
                     kuzingatia umri na kanuni za uandishi.

                 9.   Chagua maada mojawapo mtambuka kati ya hizi zifuatazo, kisha tunga
                     shairi kwa kuzingatia kanuni za utunzi.
                     (c)  ndoa za utotoni
                     (d)  mimba za utotoni
                     (e)  rushwa

                     (f)  muungano

                     (g)  haki za watoto
                     (h)  dawa za kulevya




                Kazimradi
                Chagua mada yoyote ya kifasihi kisha andaa kazimradi na andika ripoti.




                     Kitabu cha Mwanafunzi                                           159
                        Kidato cha Tano



                                                                                            23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   159                   23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   159
   165   166   167   168   169   170   171   172   173   174   175