Page 31 - Fasihi_Kisw_F5
P. 31

Fasihi ya Kiswahili  kwa Shule za Sekondari




              mstari wa mwisho, huitwa bahari. Ufuatao ni mfano wa beti za Utendi wa Fumo
              Liyongo ambao unatokana na utendi simulizi:

                                   Niweleze kwa utungo,
          FOR ONLINE READING ONLY
                                   Hadithi yake Liyongo,
                                   Niweleze na mazingo,
                                   Mambo yalomzingiya.


                                   Liyongo kitamakali,
                                   Akabarighi rijali,

                                   Akawa mtu wa kweli,
                                   Na haiba kaongeya.


                                   Kimo kawa mtukufu,
                                   Mpana sana mrefu,
                                   Majimboni yu marufu,
                                   Watu huya kwangaliya.


                                   Ni mwanamume swahihi,

                                   Kama simba unazihi,
                                   Usiku na asubuhi,
                                   Kutembea ni mamoya.


                                   Kisa katiti kutuwa,
                                   Mkobani akatowa,

                                   Zitu alizotukuwa,
                                   Nyumba ndima nisikiya.


                                   Katowa kinu na mti,
                                   Na jiwe na kupaza kuti,
                                   Na zunguze si katiti,
                                   Na mawe ya kupikiya.



                                 Tenzi Tatu za Kale [Kijumwa, katika Mulokozi (Mh) (2009)]



                20                                                 Kitabu cha Mwanafunzi
                                                                     Kidato cha Tano



                                                                                            23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   20                    23/06/2024   17:54
     FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd   20
   26   27   28   29   30   31   32   33   34   35   36