Page 68 - Fasihi_Kisw_F5
P. 68
Fasihi ya Kiswahili kwa Shule za Sekondari
5. Uhifadhi Huhifadhiwa kichwani na Huhifadhiwa katika nyaraka
kuendelezwa kwa njia ya au kwa njia za kidijiti.
kupokezana, ijapokuwa
kutokana na maendeleo
FOR ONLINE READING ONLY
ya teknolojia, huweza
kuhifadhiwa katika vinasa
sauti, kompyuta na hata
maandishi.
6. Tanzu na Idadi ya tanzu na vipera vya Idadi ya tanzu na vipera
vipera fasihi simulizi ni kubwa vya fasihi andishi ni ndogo.
kuliko ilivyo katika fasihi Aidha, vipera vyake havina
andishi. Aidha, huwa na mwingiliano mkubwa.
mwingiliano mkubwa wa
vipera.
7. Mabadiliko Hubadilika kwa haraka Haibadiliki kwa haraka kwa
kutegemeana na mahitaji ya sababu ipo katika hali ya
hadhira, tukio la kijamii na kudumu.
wakati.
8. Hadhira Hadhira yake ni hai ambayo Ni wasomaji; hivyo
hushiriki katika utendaji hawashiriki katika utendaji,
kama kuitikia, kupiga isipokuwa katika tanzu
vigelegele na makofi. chache zinazowasilishwa
kiutendaji kama vile
mashairi na tamthiliya.
9. Wahusika Hutumia wahusika Hutumia zaidi wahusika
mchanganyiko (kwa mfano binadamu. Wahusika wasio
binadamu, wanyama, mimea binadamu hutumika mara
na vitu visivyo na uhai). chache.
10. Muundo Huwa na muundo wa moja Huweza kuwa na muundo
kwa moja, aghalabu bila wa moja kwa moja au
utata. changamani kutegemeana na
utanzu.
Shughuli ya 2.16
Kwa kutumia vyanzo vya maktabani na mtandaoni, eleza namna fasihi simulizi
ilivyochangia kupatikana kwa fasihi andishi.
Kitabu cha Mwanafunzi 57
Kidato cha Tano
23/06/2024 17:54
FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd 57 23/06/2024 17:54
FASIHI YA KISWAHILI KITABU CHA MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO.indd 57