Page 106 - Historiayatznamaadili
P. 106

Msamiati



              Dau              chombo chenye umbo la bapa kilichotengenezwa
                               kwa mbao au gogo kwa ajili ya usafiri wa baharini
          FOR ONLINE READING ONLY

              Matete           aina ya mimea mirefu inayomea kandokando ya
                               mito inayotumika kusukia vitu


              Mianzi           aina ya miti mfano wa muwa yenye uwazi ndani


              Miwaa            aina ya majani ambayo yakikauka hutumiwa
                               kusukia ukili


              Nyarubanja  mfumo uliotumiwa na jamii ya Wahaya kumiliki
                               ardhi kipindi cha ukabaila


              Nyavu            kifaa au zana mfano wa nyuzi iliyotumiwa kuvulia

                               samaki

              Teknolojia  uwezo, ufundi, vifaa na mbinu za uzalishaji au

                               utoaji wa huduma

              Uhunzi           hali ya kufua, kuunda vitu kutokana na chuma


              Ukingo           wigo au ukuta wa nyumba au mpaka


              Vinyago          vitu  vilivyochongwa  mfano  wa  wanyama  au
                               binadamu kwa kutumia mti




















                                                   99




                                                                                          06/11/2024   11:30:16
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   99
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   99                                     06/11/2024   11:30:16
   101   102   103   104   105   106   107   108   109   110   111