Page 117 - Historiayatznamaadili
P. 117

FOR ONLINE READING ONLY












































                       Kielelezo namba 3: Njia za biashara ya masafa marefu

              Awali, uhusiano wa kibiashara kati ya wageni kutoka Mashariki
              ya Mbali na Kati na wafanyabiashara wakubwa wa masafa marefu
              ulihusisha kubadilishana dhahabu na miti ya mikoko iliyopatikana
              maeneo ya Pwani ya Bahari ya Hindi. Bidhaa nyingine zilikuwa
              vipusa, ngozi za chui na magamba ya kobe zilizopatikana maeneo

              ya ndani ya nchi. Dhahabu ilitoka Zimbabwe kupitia bandari ya
              Sofala iliyopo Msumbiji.  Biashara hii ndiyo iliyosababisha kukua
              kwa miji ya mwambao wa Pwani ya Bahari ya Hindi, kama vile
              Kilwa Kisiwani.

                                                   110




                                                                                          06/11/2024   11:30:18
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   110
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   110                                    06/11/2024   11:30:18
   112   113   114   115   116   117   118   119   120   121   122