Page 140 - Historiayatznamaadili
P. 140

FOR ONLINE READING ONLY





































               Kielelezo namba 9:  Ramani yenye mtawanyiko wa baadhi ya makabila

                                Kazi ya kufanya namba 11

                           Chunguza kielelezo namba 9, kisha bainisha yalipo
                           makabaila yaliyokuwa na tawala za Kitemi, Kifalme,
                           Mangi, Kirika na Kiukoo.


              Mchango wa mamlaka za jadi katika maendeleo ya jamii na
              uchumi

              Mamlaka za jadi zilikuwa na mchango mkubwa kwa maendeleo
              ya kijamii na kiuchumi kabla ya kuja kwa ukoloni. Mamlaka za
 Msamiati     jadi zilikuwa na utawala imara wenye nguvu za uongozi na ulinzi

              katika jamii husika. Mamlaka hizi zilisimamia shughuli za kisiasa,
 Katiba   ni  sheria  na  kanuni  zinazoainisha  jinsi  nchi
 itakavyoendeshwa                                  133


 Kanuni   mwongozo au taratibu zinazotumika kuelekeza
 tabia au shughuli za kundi fulani  Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   133     06/11/2024   11:30:22
                                                                                          06/11/2024   11:30:22
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   133
 Sheria   kanuni au taratibu zilizowekwa na mamlaka fulani
 kwa ajili ya kuelekeza au kuthibiti tabia za kikundi
 au jamii fulani
   135   136   137   138   139   140   141   142   143   144   145