Page 16 - Historiayatznamaadili
P. 16

FOR ONLINE READING ONLY






















                     Kielelezo namba 4: Watoto wakishiriki kusafisha mazingira

              Kutii sheria na kanuni za nchi na za jamii

              Utii wa sheria na kanuni huwezesha watu kuishi kulingana
              na maadili ya jamii na Taifa husika. Mtoto ana wajibu wa kutii
              sheria na kanuni zilizopo katika jamii na Taifa lake. Mtoto asipotii
              sheria za nchi, huweza kujikuta katika matatizo na vyombo
              vinavyosimamia sheria hizo. Aidha, utii wa sheria na kanuni za

              nchi ni muhimu kwa usalama wa mtoto mwenyewe.

                                Kazi ya kufanya namba 9


                           Soma matini kuhusu sheria za nchi, kisha andika
                           wajibu wa mtoto katika kuzitii sheria hizo.





              Kutunza, kuheshimu na kulinda mali za umma na za jamii

              Ibara ya 27 (1) na 27(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa
              Tanzania ya Mwaka 1977, inaeleza wajibu wa kulinda mali asilia
              za Taifa, mali za mamlaka ya nchi na mali zinazomilikiwa kwa



                                                    9




                                                                                          06/11/2024   11:29:30
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   9
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   9                                      06/11/2024   11:29:30
   11   12   13   14   15   16   17   18   19   20   21