Page 17 - Historiayatznamaadili
P. 17

pamoja na wananchi. Pia, inaelezea wajibu wa kuheshimu mali
              ya mtu mwingine. Watu wote wanatakiwa kupiga vita uharibifu na
              ubadhirifu wa mali za umma na za jamii na kuendesha uchumi
              wa Taifa kwa umakini kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho.
              Hivyo, mtoto ana wajibu wa kutunza na kulinda maliasili za
          FOR ONLINE READING ONLY
              Taifa, mali za umma na za jamii na kutokushiriki vitendo vya
              uharibifu wake.  Pia, mtoto ana wajibu wa kushiriki katika kutoa
              elimu na kuandaa kampeni za kutunza mali za umma katika

              jamii. Mfano, mtoto anaweza kufanya kampeni kwa kushiriki
              shughuli za kutunza mazingira katika jamii. Kielelezo namba 5,
              kinaonesha watoto wakishiriki kazi za kupanda miti.


                                Kazi ya kufanya namba 10

                           Andaa klabu ya utunzaji na ulinzi wa mali zilizopo

                           katika jamii kwa kuonesha mikakati na utekelezaji
                           wake.






































                         Kielelezo namba 5: Watoto wakishiriki kupanda miti


                                                   10




                                                                                          06/11/2024   11:29:31
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   10                                     06/11/2024   11:29:31
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   10
   12   13   14   15   16   17   18   19   20   21   22