Page 20 - Historiayatznamaadili
P. 20

FOR ONLINE READING ONLY


























                Kielelezo namba 6: Watoto wakishiriki kikao cha maendeleo ya jamii


              Kulinda, kuhifadhi na kudumisha uhuru na umoja wa kitaifa

              Umoja wa kitaifa ndiyo nguzo ya mshikamano wa kindugu baina
              ya wanajamii. Umoja huu hutafsiriwa katika namna ambayo watu

              huungana na kushirikiana katika mambo ya kiitikadi, kiimani
              na kiutamaduni. Watu wenye kukubaliana katika itikadi, imani
              na utamaduni ni rahisi kuwa na umoja kijamii na kitaifa. Umoja

              wa kitaifa huweka mazingira salama ya watu kuhusiana na
              kushirikiana katika kazi ambazo ndiyo msingi wa maendeleo

              ya jamii na Taifa. Ukosefu wa umoja wa kitaifa, huondoa amani
              na huleta ugomvi, migogoro na mpasuko. Hivyo, ni wajibu wa
              watoto kulinda, kuhifadhi na kudumisha uhuru na umoja wa

              kitaifa na katika jamii inayomzunguka.








                                                   13




                                                                                          06/11/2024   11:29:33
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   13
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   13                                     06/11/2024   11:29:33
   15   16   17   18   19   20   21   22   23   24   25