Page 28 - Historiayatznamaadili
        P. 28
     6.  Hatua zipi mtoto anapaswa kuchukua iwapo haki zake
                     zitakiukwa katika jamii na Taifa?
                7.  Eleza muhimu wa jamii na serikali katika kuhakikisha
          FOR ONLINE READING ONLY
                     haki za mtoto zinalindwa na kutekelezwa kwa ufanisi.
                8.  Andika hatua zinazopaswa kuchukuliwa ili kuzuia ukatili
                     na unyanyasaji wa watoto katika jamii inayomzunguka.
                9.  Eleza namna mtoto anavyoweza kushiriki kupinga vitendo
                     vya rushwa katika jamii na Taifa.
              Msamiati
              Katiba           ni  sheria  na  kanuni  zinazoainisha  jinsi  nchi
                               itakavyoendeshwa
              Kanuni           mwongozo au taratibu zinazotumika kuelekeza
                               tabia au shughuli za kundi fulani
              Sheria           kanuni au taratibu zilizowekwa na mamlaka fulani
                               kwa ajili ya kuelekeza au kuthibiti tabia za kikundi
                               au jamii fulani
                                                   21
                                                                                          06/11/2024   11:29:35
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   21                                     06/11/2024   11:29:35
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   21
     	
