Page 28 - Historiayatznamaadili
P. 28

6.  Hatua zipi mtoto anapaswa kuchukua iwapo haki zake
                     zitakiukwa katika jamii na Taifa?

                7.  Eleza muhimu wa jamii na serikali katika kuhakikisha
          FOR ONLINE READING ONLY
                     haki za mtoto zinalindwa na kutekelezwa kwa ufanisi.
                8.  Andika hatua zinazopaswa kuchukuliwa ili kuzuia ukatili

                     na unyanyasaji wa watoto katika jamii inayomzunguka.
                9.  Eleza namna mtoto anavyoweza kushiriki kupinga vitendo

                     vya rushwa katika jamii na Taifa.






              Msamiati



              Katiba           ni  sheria  na  kanuni  zinazoainisha  jinsi  nchi
                               itakavyoendeshwa


              Kanuni           mwongozo au taratibu zinazotumika kuelekeza
                               tabia au shughuli za kundi fulani


              Sheria           kanuni au taratibu zilizowekwa na mamlaka fulani
                               kwa ajili ya kuelekeza au kuthibiti tabia za kikundi
                               au jamii fulani



























                                                   21




                                                                                          06/11/2024   11:29:35
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   21                                     06/11/2024   11:29:35
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   21
   23   24   25   26   27   28   29   30   31   32   33