Page 85 - Historiayatznamaadili
P. 85

Zoezi la jumla


               1.  Oanisha taarifa za sehemu A na zile za sehemu B, kisha
                     andika jibu sahihi sehemu ya jibu.
          FOR ONLINE READING ONLY
                            Sehemu  A            Jibu              Sehemu B

                      (i)  Sayansi na                    (a)  Matumizi ya moto,
                           teknolojia za                      moshi, jua au mafuta.
                           asili                         (b)  Uboreshaji wa zana
                      (ii)  Ufinyanzi                         za kilimo, mifugo na

                      (iii)  Zana za chuma                    uvuvi.
                      (iv) Sayansi na                    (c)  Vyungu, mitungi na
                           teknolojia ya                      bakuli

                           asili ya uhifadhi             (d)  Ukindu, makuti,
                           vitu                               matenga na madema
                      (v)  Ususi                         (e)  Matumizi ya maarifa
                                                              na ujuzi wa asili na
                                                              rasilimali asilia katika
                                                              maendeleo.

               2.  Ni kwa namna gani sayansi na teknolojia za asili katika
                     kilimo na maadili yake zilisaidia maendeleo ya kilimo na

                     uhifadhi wa mazingira?
               3.  Eleza jinsi sayansi na teknolojia za asilia za uchongaji na

                     ususi zilivyosaidia maendeleo katika shughuli za uvuvi.
               4.  Eleza namna sayansi na teknolojia za asili za moto na
                     chumvi zilivyosaidia maendeleo ya uvuvi katika jamii za

                     kale.
               5.  Bainisha  maadili  yaliyozingatiwa  katika  sayansi  na
                     teknolojia za asili.

               6.  Je, maadili yalikuwa na mchango gani katika maendeleo
                     ya sayansi na teknolojia za asili kwa jamii za kale?

               7.  Bainisha mchango wa sayansi na teknolojia za asili katika
                     maendeleo ya uchumi kabla ya ukoloni.




                                                   78




                                                                                          06/11/2024   11:30:10
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   78                                     06/11/2024   11:30:10
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   78
   80   81   82   83   84   85   86   87   88   89   90