Page 86 - Historiayatznamaadili
P. 86

8.  Eleza umuhimu wa kuendeleza maadili katika sayansi na
                     teknolojia za asili nchini Tanzania kwa sasa.

               9.  Je, ni kwa vipi sayansi na teknolojia za asili na maadili
                     yake zinaweza kutumika katika kuleta maendeleo nchini
          FOR ONLINE READING ONLY
                     kwa sasa?



              Msamiati

              Asili               chimbuko, mwanzo au kiini cha kitu fulani
                                  kutokea au kuanza

              Anika               kutandaza au kuweka kitu kwenye mwanga wa
                                  jua au upepo kwa lengo la kukikausha

              Banika              kuweka kitu katika moto kikiwa juu ya wavu au
                                  katika chuma
              Chambo              kitu, kama vile nyama, mdudu, samaki
                                  kilichowekwa katika ndoano ili kutegea samaki

              Kitali              chumaghafi kitokanacho na uyeyushaji wa asili
                                  wa chuma
              Mbale               madini yaliyowekwa katika tanuru kuzalisha

                                  chuma
              Kufinyafinya  kuminyaminya kitu kwa kutumia vidole au
                                  kiganja cha mkono
              Kufinyanga          kutengeneza kitu kwa kutumia udongo wa

                                  mfinyanzi
              Kukausha            kuondoa unyevu au maji kutoka katika kitu kwa
                                  kutumia jua, au njia nyingine ili kufanya kiwe
                                  kikavu

              Tiba                kutibu au kuponya mgonjwa au mtu mwenye
                                  matatizo ya kiafya kwa kutumia mbinu za
                                  kitabibu









                                                   79




                                                                                          06/11/2024   11:30:10
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   79                                     06/11/2024   11:30:10
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   79
   81   82   83   84   85   86   87   88   89   90   91