Page 97 - Historiayatznamaadili
P. 97

Vilevile, wachongaji walitumia miti kuchonga bidhaa kama
              mitumbwi, makasia na ngalawa, vyombo vilivyotumika kwa ajili
              ya usafiri katika maji.  Bidhaa hizi zinatumika katika jamii zetu
              mpaka sasa. Kielelezo namba 6, kinaonesha mfano wa mtumbwi
          FOR ONLINE READING ONLY
              na makasia.

























                              Kielelezo namba 6: Mtumbwi na makasia
              Jamii hizi zilichonga vinyago vya  wanyama na ndege. Pia,

              walichonga vinyago vyenye umbo la binadamu. Kielelezo namba
              7, kinaonesha shughuli za uchongaji.




























                    Kielelezo namba 7: Shughuli za uchongaji wa vitu mbalimbali


                                                   90




                                                                                          06/11/2024   11:30:15
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   90                                     06/11/2024   11:30:15
     Historia ya Tanzania na Maadili STD IV.indd   90
   92   93   94   95   96   97   98   99   100   101   102