Page 30 - Jiografia_Mazingira
P. 30

FOR ONLINE READING ONLY














          Kielelezo namba 2: Kubaini Pande Kuu za Dunia kwa kutumia uelekeo wa kivuli

          Kumbuka, ni vigumu kufanya utambuzi wa Pande Kuu za Dunia kwa
          njia ya uelekeo wa kivuli wakati wa jua la utosi (saa sita mchana),
          kwani katika muda huu kivuli chako kinakuwa kimekuzunguka.

                     Kazi ya kufanya namba 2





             1.  Nenda nje ya darasa wakati wa asubuhi, na simama eneo la
                 katikati ya shule yako;

             2.  Baini upande wa jua linakochomoza, kisha bainisha Pande
                 Kuu za Dunia na utaje vitu vinavyopatikana katika upande
                 husika.

             3.  Tengeneza kifani cha Pande Kuu za Dunia kwa kutumia
                 makunzi yanayopatikana katika mazingira uliyopo.




                       Zoezi la pili


           Jibu maswali yafuatayo:

              1.  Ni uelekeo gani upo nyuma yako unapotazama upande wa
                 Kaskazini?






                                                 23



                                                                                          31/10/2024   19:18
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   23                                           31/10/2024   19:18
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   23
   25   26   27   28   29   30   31   32   33   34   35