Page 50 - Jiografia_Mazingira
P. 50

Maswali


               1.  Chagua wilaya moja, kisha chora ramani yake kwenye
                   daftari lako;

               2.  Katika ramani ya wilaya uliyochora, onesha vitu vifuatavyo:
        FOR ONLINE READING ONLY
                   (a) Makao makuu ya wilaya;

                   (b) Msitu;
                   (c) Soko; na

                   (d) Hospitali ya wilaya.




                     Kazi ya kufanya namba 7


                    Tumia Atlasi au vyanzo vya kuaminika vya mtandaoni
                   kupata ramani ya Tanzania inayoonesha mipaka ya
                   kiutawala, kisha baini mkoa unaoishi na fanya yafuatayo:


                  (a) Chora ramani ya mkoa unaoishi;
                  (b) Onesha wilaya za mkoa huo;

                  (c) Weka kivuli kwenye wilaya unayoishi;

                  (d) Weka alama ya ncha ya Kaskazini kuonesha uelekeo; na

                  (e) Weka ufunguo wa ramani.



          Kuchora ramani ya Tanzania

          Ramani ya Tanzania inatoa taarifa mbalimbali kuhusu nchi ya Tanzania.
          Taarifa zinazooneshwa katika ramani ya Tanzania zinatofautiana
          kulingana na dhumuni la ramani hiyo. Kwa mfano, ramani ya Tanzania

          inaweza kuonesha mahali mji mkuu ulipo, Mlima Kilimanjaro, reli,
          bahari, maziwa, mipaka ya mikoa na ya nchi jirani.













                                                 43



                                                                                          31/10/2024   19:18
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   43
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   43                                           31/10/2024   19:18
   45   46   47   48   49   50   51   52   53   54   55