Page 57 - Jiografia_Mazingira
P. 57

11.  Chagua ukubwa wa karatasi (3), uelekeo wa karatasi (4) na
               muundo wa kuchapa kati ya PDF au picha (5), Kisha bofya “Print”
               (6) kuhifadhi ramani kama PDF au picha, kama inavyoonekana

               katika Kielelezo namba 15 na Kielelezo namba 16.

        FOR ONLINE READING ONLY






















                   Kielelezo namba 16: Ramani ya hifadhi ya Swaga Swaga


             Kazi ya kufanya namba 9

            1.  Chagua eneo lolote ndani ya mkoa unaoishi au mbuga
                maarufu nchini Tanzania, kisha ichore kidijitali.

            2.  Eleza mambo uliyozingatia wakati wa uchoraji wa ramani
                yako.

            3.  Ni vipengele gani muhimu katika ramani havipo kwenye
                ramani yako ya kidijitali?



                       Zoezi la nne


              1.  Ni programu gani zinatumika katika uchoraji wa ramani za
                 kidijitali?

              2.  Taja mahitaji muhimu katika uchoraji wa ramani za kidijitali

              3.  Ni kwa namna gani unaweza kuchapisha ramani uliyoichora

                 kidijitali?




                                                 50



                                                                                          31/10/2024   19:18
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   50                                           31/10/2024   19:18
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   50
   52   53   54   55   56   57   58   59   60   61   62