Page 61 - Jiografia_Mazingira
P. 61

Kutumia ramani kubaini uelekeo na mahali

                     Kazi ya kufanya namba 1


                         Chunguza Kielelezo namba 1, kisha jibu maswali yanayofuata:

        FOR ONLINE READING ONLY

































                                Kielelezo namba 1: Ramani ya shule



            Maswali

               1.  Ni vitu gani vinapatikana Kaskazini mwa barabara kuu?

               2.  Madarasa yako upande gani wa uwanja wa mpira wa miguu?
               3.  Darasa la VI linapatikana upande gani wa Darasa la V?

               4.  Darasa la II linapatikana upande gani wa Darasa la IV?
               5.  Upande gani wa eneo la shule ambao hauna uzio?



          Uelekeo na mahali katika ramani unaweza kubainishwa kwa kutumia
          alama ya uelekeo wa Kaskazini. Alama ya uelekeo wa Kaskazini
          itakuonesha ni upande upi wa ramani upo Kaskazini, Kusini, Mashariki

          au Magharibi. Hii itakuwezesha kubaini mahali vilipo vitu mbalimbali



                                                 54



                                                                                          31/10/2024   19:18
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   54
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   54                                           31/10/2024   19:18
   56   57   58   59   60   61   62   63   64   65   66