Page 63 - Jiografia_Mazingira
P. 63

Maswali

               1.  Shule ipo upande gani ukitokea nyumbani kwa Juma?

               2.  Je, nyumba ya David iko uelekeo gani kutokea nyumbani
                   kwa Mwajuma?
        FOR ONLINE READING ONLY
               3.  Dereva Masanja atafuata uelekeo gani anapoendesha

                   kutoka Barabara ya Warioba kwenda mahakamani?
               4.  Utamuelekeza vipi rafiki yako kufika shule ya msingi

                   Songambele akitokea bustani iliyoko Kaskazini mwa
                   Barabara ya Warioba?
               5.  Nyumba ya David iko upande gani kutokea nyumbani kwa

                   Katherin?

          Kutumia ramani kubaini umbali
                     Kazi ya kufanya namba 3



                        Chunguza Kielelezo namba 3, kisha jibu maswali yanayofuata:



































                                 Kielelezo namba 3: Mtaa wa Makuti





                                                 56



                                                                                          31/10/2024   19:18
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   56
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   56                                           31/10/2024   19:18
   58   59   60   61   62   63   64   65   66   67   68