Page 69 - Jiografia_Mazingira
P. 69

(a) Chora mstari ulionyooka unaounganisha vituo viwili, kwa mfano,
                kituo A na kituo B kama inavyoonekana katika Kielelezo namba
                9.



             A                                                                        B
        FOR ONLINE READING ONLY




            Kielelezo namba 9: Mstari ulionyooka unaounganisha kituo A na kiuo B

            (b) Laza rula sambamba na mstari ulionyooka, hakikisha alama
                ya sifuri (0) kwenye rula inashabihiana na kituo A (1), na weka
                alama kwenye rula katika kituo B kama ilivyoonekana kwa

                alama nyekundu (2) katika Kielelezo namba10.






                                                  B




                          A


                                                         (2)




                                 (1)
                Kielezo namba 10: Kupima umbali ulionyooka kwa kutumia rula

            (c) Umbali katika ramani uliopimwa kwa rula kati ya kituo A hadi
                B unaweza kubadilishwa kuwa umbali halisi katika ardhi kwa

                kutumia skeli ya mstari au skeli ya uwakilishi wa sehemu
                (uwiano) kwa kufuata hatua zifuatazo.
                 GSPublisherVersion 0.5.100.100
                 (i)  Laza rula kwenye skeli ya mstari ambapo sifuri (0) ya
                     kwenye rula iwe sambamba na sifuri (0) ya kwenye skeli
                     ya mstari, na alama nyekundu iwe upande wa kulia wa

                     skeli ya mstari;





                                                 62



   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   62                                           31/10/2024   19:19
                                                                                          31/10/2024   19:19
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   62
   64   65   66   67   68   69   70   71   72   73   74