Page 74 - Jiografia_Mazingira
P. 74

1000              (1)
                        Meta         500  0        1          2         3 Kilometa





        FOR ONLINE READING ONLY









                                  (3)   (2)
                               1000
                        Meta         500  0        1          2         3 Kilometa






             Kielelezo namba 15: Kubadilisha umbali uliopimwa katika ramani kwa

                             kutumia uzi kuwa umbali halisi wa ardhi
              (d) Kwa kutumia skeli ya uwakilishi wa sehemu (uwiano), umbali
                  wa ardhi kutoka kituo A hadi B unaweza kukokotolewa kama
          GSPublisherVersion 0.5.100.100
                  ilivyofanyika katika upimaji wa umbali wa mstari ulionyooka
                  kwa kutumia kipande cha karatasi. Ikiwa skeli ya uwakilishi
                  ni 1:50000 na umbali katika ramani kati ya fundo mbili ni Sm

                  3, umbali kati ya kituo A na B katika ardhi ni Km 1.5.
            2.  Kutumia bikari


          Zifuatazo ni hatua za kupima umbali katika ramani kwa kutumia bikari:
          (a) Baini vituo viwili, yaani A na B, kama inavyoonekana katika

              Kielelezo namba 16.










          Kielelezo namba 16: Umbali usionyooka kutoka kituo A hadi B unaohitajika
                                              kupimwa




                                                 67



                                                                                          31/10/2024   19:19
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   67
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   67                                           31/10/2024   19:19
   69   70   71   72   73   74   75   76   77   78   79