Page 75 - Jiografia_Mazingira
P. 75

(b) Gawa umbali unaohitajika kupimwa katika vipande vifupivifupi
              ambavyo vimenyooka na weka alama kama inavyoonekana
              katika Kielelezo namba 17.





        FOR ONLINE READING ONLY





             Kielelezo namba 17: Vipande vilivyo nyooka vinavyohitajika kupimwa
                                       kutoka kituo A hadi B



          (c) Tumia bikari kupata urefu wa kila kipande kimoja baada ya
              kingine kama inavyoonekana katika Kielelezo namba 18;















             Kielelezo namba 18: Umbali usionyooka unaopimwa kwa kutumia bikari

          (d) Pima umbali wa kila sehemu ulizozigawa kwa kutumia rula na
              uzinakili katika karatasi kama inavyoonekana katika Kielelezo

              namba 19;




















                               Kielelezo namba 19:  Rula na bikari




                                                 68



                                                                                          31/10/2024   19:19
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   68                                           31/10/2024   19:19
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   68
   70   71   72   73   74   75   76   77   78   79   80