Page 71 - Jiografia_Mazingira
P. 71

(d) Kwa kutumia skeli ya uwakilishi wa sehemu (uwiano), ili
                kupata umbali halisi wa ardhi kutoka kituo A hadi B unaweza
                kukokotolewa kama ilivyofanyika katika upimaji wa umbali

                ulionyooka kwa kutumia kipande cha karatasi. Kwa kuwa
                umbali wa ramani wa Sm 5.5 ulipimwa katika Kielelezo namba
        FOR ONLINE READING ONLY
                10, na skeli ya ramani ni 1:50000, umbali wa ardhi baada ya
                kukokotoa utakuwa ni Km 2.75.




                     Kazi ya kufanya namba 5


                       Chunguza Kielelezo namba 12, kisha jibu maswali yanayofuata:































                 Skeli 1: 600,000


                             Kielelezo namba 12:  Ramani ya Gezaulole


















                                                 64



                                                                                          31/10/2024   19:19
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   64
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   64                                           31/10/2024   19:19
   66   67   68   69   70   71   72   73   74   75   76