Page 70 - Jiografia_Mazingira
P. 70

(ii) Ikiwa alama nyekundu kwenye rula imeishia kwenye namba
                     fulani katika skeli, namba hiyo inawakilisha umbali wa ardhi
                     kati ya kituo A na B.

                 (iii)  ikiwa alama nyekundu iko katikati ya namba mbili, rekodi
                     namba ya kushoto na weka alama kwenye rula (3) kama
        FOR ONLINE READING ONLY
                     inavyoonekana katika Kielelezo namba 11. Kwa mfano,

                     namba ya kushoto katika Kielelezo namba 11 ni Km 2
                     hivyo, utairekodi;

                 (iv)  hamisha rula kwenda upande wa kushoto wa skeli, alama ya
                     kulia iwe sawa na sifuri (4) na alama ya kushoto iwe upande
                     wa kushoto wa skeli ya mstari (5) kama inavyoonekana
                     kwenye Kielelezo namba 11; na

                 (v) andika namba iliyo karibu zaidi na alama nyekundu ya
                     kushoto, kwa mfano, katika Kielezo namba 11 namba
                     itakayorekodiwa ni meta 750. Hivyo, umbali wa ardhini

                     kutoka pointi A hadi B ni Km 2 na Meta 750.

                             1000                   (3)
                       Meta      500  0      1       2       3 Kilometa















                                         1000  (5)  (4)
                                   Meta       500  0      1       2       3 Kilometa









          Kielelzo namba 11: Kubadilisha umbali wa ramani kuwa umbali wa ardhi wakati
                             alama nyekundu ya kulia inayowakilisha kituo B iko kati ya
                 GSPublisherVersion 0.5.100.100
                             namba mbili kwenye kipimo cha mstari.



                                                 63



                                                                                          31/10/2024   19:19
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   63                                           31/10/2024   19:19
   JIOGRAFIA NA MAZINGIRA DARASA LA 4.indd   63
   65   66   67   68   69   70   71   72   73   74   75