Page 37 - Sanaa_Michezo_Drs_4
P. 37

(v)  Unganisha vipande  hivyo kwa kutumia udongo wa
                       mfinyanzi, kama inavyoonekana katika Kielelezo namba 4;






        FOR ONLINE READING ONLY


















                    Kielelezo namba 4: Kuunganisha vipande vya udongo wa mfinyanzi

                   (vi) Lainisha sehemu zilizoungwa ili zisiache uwazi; na

                   (vii) Weka umbo kivulini kwa muda mfupi ili likauke kiasi na

                        liwekee nakshi, kisha liweke tena kivulini hadi likauke
                        kabisa, kama inavyoonekana katika Kielelezo namba 5.


























              Kielelezo namba 5: Kukausha kifani kilichofinyangwa kwa njia ya bapa







                                                 30




                                                                                          19/10/2024   16:35
   SANAA NA MICHEZO BALANCING.indd   30                                                   19/10/2024   16:35
   SANAA NA MICHEZO BALANCING.indd   30
   32   33   34   35   36   37   38   39   40   41   42