Page 108 - SayansiStd4
P. 108

kinanda, tarumbeta na kengele.
              Pia, watu wanapoongea  au                (b)

              kuku anapoita vifaranga vyake,
              ndege inapopaa  na baadhi
              ya      wanyama         wanapopiga
          FOR ONLINE READING ONLY
              kelele kinachotokea ni sauti.
              Sauti husaidia  mawasiliano

              kufanyika. Kielelezo namba 13
              kinaonesha  vitendo vya kutoa
              sauti.



              (a)                                     (c)















                            Kielelezo namba 13: Vitendo vya kutoa sauti



               Kazi ya kufanya namba 6



              Kutambua namna sauti inavyosafiri katika hewa

              Chunguza kinachotokea kengele inapogongwa shuleni.

              1.  Je, kengele inapogongwa sauti inatokea wapi?

              2.  Je, wanafunzi wanapokusanyika wanatoka upande gani?

              3.  Je, mawimbi ya sauti yanaelekea upande gani?

              4.  Umegundua nini kuhusu sauti inavyosafiri katika hewa?


              5.  Nini umuhimu wa nishati ya  sauti katika  maisha ya  kila
                    siku?



                                                   101




                                                                                            14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   101                                  14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   101
   103   104   105   106   107   108   109   110   111   112   113