Page 115 - SayansiStd4
P. 115

Zoezi la marudio

              Sehemu A: Chagua jibu sahihi

              1.  Kitu chochote kinapogongwa hutoa mlio maalumu ambao
          FOR ONLINE READING ONLY
                    huitwa _____.
                    (a)  zeze

                    (b)  sauti

                    (c)  ngoma

                    (d)  kengele


              2.  Sauti ikigonga kwenye ukuta na kurudi huitwa _____.
                    (a)  mpitisho

                    (b)  mwanga

                    (c)  mwangwi


                    (d)  msafara

              3.  Chanzo kikuu cha nishati ya mwanga ni _____.

                    (a)  mshumaa

                    (b)  mwezi

                    (c)  jua

                    (d)  moto

              4.  Mwanga husafiri katika msitari _____.

                    (a)  unaopungua unene

                    (b)  ulioonyoka

                    (c)  uliopinda

                    (d)  uliokunjika

              5.  Joto husafiri katika maada yabisi kama chuma na bati kwa

                    njia ya _____.




                                                   108



                                                                                            14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   108
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   108                                  14/01/2025   18:39
   110   111   112   113   114   115   116   117   118   119   120