Page 116 - SayansiStd4
P. 116

(a)  mpitisho

                    (b)  msafara

                    (c)  mpindisho
          FOR ONLINE READING ONLY
                    (d)  mnururisho

              6.  Kasi ya nishati ya sauti ni ndogo zaidi kwenye _____.

                    (a)  yabisi

                    (b)  vimiminika

                    (c)  hewa

                    (d)  yabisi na vimiminika

              7.  Nishati inayoweza kusafiri kutoka kwenye jotoridi kubwa
                    kwenda kwenye jotoridi dogo   ____.

                    (a)  nishati ya sauti

                    (b)  nishati ya mwanga

                    (c)  nishati ya upepo

                    (d)  nishati ya joto

              Sehemu B:  Andika KWELI kwa sentensi sahihi na SI KWELI
                             kwa sentensi isiyo sahihi


              8.  Radio ni kifaa cha mawasiliano kinachotoa nishati ya sauti.

              9.  Taswira hutokea katika vitu visivyong’aa na nyororo.


              10.  Sauti husafiri katika hewa, vimiminika na vitu yabisi.

              11.  Miale ya mwanga hupinda inaposafiri kutoka kwenye hewa
                    kwenda kwenye maji.


              12.  Nishati ya sauti hutumika katika mawasiliano.


              13.  Mkono wa sufuria na pasi hutengenezwa kwa chuma ili
                    uweze kuzuia joto kupita.



                                                   109




                                                                                            14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   109                                  14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   109
   111   112   113   114   115   116   117   118   119   120   121