Page 117 - SayansiStd4
P. 117
14. Runinga hutoa nishati ya sauti tu.
Sehemu C: Oanisha maneno ya Sehemu A na Sehemu B ili
kuunda sentensi yenye maana iliyosahihi.
FOR ONLINE READING ONLY
15.
Sehemu A Sehemu B
(i) Kivuli (a) Nyota na mwezi
(ii) Kuni (b) Umbo lenye giza linalotokea
baada ya mwanga kuzuiwa na
(iii) Mstari mnyoofu kitu
(iv) Midia angavu (c) Hutoa nishati ya mwanga na
mbili tofauti joto baada ya kuchomwa
(v) Akisi (d) Hutokana na mitetemo ya vitu
(vi) Taswira mbalimbali
(vii) Sauti (e) Namna miale ya mwanga
inavyosafiri
(viii) Jua
(f) Ni matokeo ya picha au mchoro
(ix) Mwangwi unaojitokeza kwenye nyuso
(x) Gitaa, kengele nyororo na zinazong’aa
na kinanda (g) Husababisha mwanga kupinda
(h) Chanzo kikuu cha nishati ya
mwanga na joto
(i) Kitendo cha miale ya mwanga
kurudi baada ya kugonga
kwenye uso unaong’aa au laini
(j) Sauti iliyoakisiwa baada ya
kukutana na kitu kigumu
(k) Vyanzo vya nishati ya sauti
(l) Vitu vigumu, vimiminika na gesi
110
14/01/2025 18:39
SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd 110
SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd 110 14/01/2025 18:39