Page 123 - SayansiStd4
P. 123

2.  Weka mshale wa kipanya kwenye eneo la kuchora.

              3.  Bonyeza  kitufe cha kushoto cha kipanya na ushikilie

                    kisha, ukiburute kwa uelekeo kama inavyooneshwa katika
                    Kielelezo namba 6.
          FOR ONLINE READING ONLY

























                       Kielelezo namba 6: Kuchora umbo la pembetatu mraba


              4.  Utapata umbo la pembetatu mraba linalofanana na umbo
                    lililopo katika Kielelezo namba 7.




























                    Kielelezo namba 7: Pembetatu mraba inayounda mteremko




                                                   116



                                                                                            14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   116                                  14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   116
   118   119   120   121   122   123   124   125   126   127   128