Page 54 - SayansiStd4
P. 54

Mende hutaga mayai yaliyo katika sega gumu. Huficha mayai

               yake kwenye sehemu zisizoonekana kwa urahisi. Baada ya
               mwezi, mayai huanguliwa na kuwa tunutu. Tunutu ni mdogo
               kimaumbile na huwa na ngozi laini, na hana mabawa. Baada
          FOR ONLINE READING ONLY
               ya miezi mitatu tunutu hubadilika  na kuwa mende kamili.
               Kielelezo namba 7 kinaonesha hatua za ukuaji wa mende.





                                                        Yai





                                          Mende






                                                     Tunutu








                        Kielelezo namba 7: Hatua za ukuaji wa mende


               Kufanya usafi mara kwa mara na kupanga vizuri nguo, vitabu
               na vifaa mbalimbali itaondoa kabisa makazi na mazalia ya
               mende. Vilevile, mende huangamizwa kwa kutumia sumu ya
               kuua wadudu.




               Zoezi la marudio

               Sehemu A

               1.  Oanisha ugonjwa kutoka Sehemu A na dalili za ugonjwa
                     kutoka Sehemu B.







                                                   47




                                                                                            14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   47                                   14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   47
   49   50   51   52   53   54   55   56   57   58   59