Page 56 - SayansiStd4
P. 56

7.  Je, ni kwa namna gani wadudu kama nzi, mende na mbu

                     ni hatari kwa afya ya binadamu?

               8.  Unaweza kufanya nini ili kupunguza kuzaliana kwa nzi
          FOR ONLINE READING ONLY
                     karibu na nyumba yenu?




              Msamiati

              Lava                             funza aliye  katika hatua  ya pili  ya

                                             ukuaji wa nzi baada ya yai kuanguliwa

              Malengelenge                     uvimbe wenye majimaji unaotokea

                                             kwenye ngozi

              Magonjwa nyemelezi   magonjwa mbalimbali  ya  mara kwa
                                             mara yanayompata mtu mwenye

                                             upungufu wa kinga mwilini

              Mzio                            hali ya mwili kuathiriwa na baadhi ya

                                             vitu ambavyo havileti  madhara  kwa
                                             watu wengine. Vitu hivyo ni kama vile
                                             vumbi, chavua na harufu


              Vimelea                         viumbehai visivyoonekana kwa macho
                                             vinavyosababisha magonjwa


              Virusi                           vimelea vidogo sana visivyoonekana
                                             kwa macho  ya kawaida  ambavyo
                                             huzaliana  ndani ya chembe hai ya

                                             mnyama au mmea













                                                   49




                                                                                            14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   49                                   14/01/2025   18:39
     SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd   49
   51   52   53   54   55   56   57   58   59   60   61