Page 55 - SayansiStd4
P. 55
Na. Sehemu A Sehemu B
(i) Husababisha vipele
(a) Malaria ambavyo hubadilika kuwa
FOR ONLINE READING ONLY
malengelenge
(ii) Kukohoa kwa muda wa wiki
(b) Tetekuwanga
mbili au zaidi
(c) Pumu (iii) Kukojoa mara kwa mara
(iv) Kuharisha na kutapika
(d) Kifua kikuu
mfululizo
(v) Kutoa sauti kama filimbi au
(e) Kisukari
mluzi wakati wa kupumua
(vi) Joto kali la mwili na
(f) Kipindupindu
maumivu ya viungo
Sehemu B
2. Tofautisha magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya
kuambukiza.
3. Je, magonjwa ya kuambukiza huenea kwa njia zipi?
4. Eleza maana ya metamofosisi.
5. Taja mfano mmoja wa wadudu wanaopitia hatua
zifuatazo za ukuaji:
(a) Metamofosisi kamili; na
(b) Metamofosisi pungufu.
6. Orodhesha hatua za ukuaji wa mdudu katika:
(a) Metamofosisi kamili; na
(b) Metamofosisi pungufu.
48
14/01/2025 18:39
SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd 48 14/01/2025 18:39
SAYANSI DARASA LA IV KITABU CHA MWANAFUNZI.indd 48