Page 49 - Historia_Maadili
P. 49

Zoezi la marudio



              1.  Eleza dhana ya “maadili” katika utamaduni wa Mtanzania.

              2.  Jadili nafasi ya vijana katika kukuza maadili kwa jamii ya Kitanzania.
        FOR ONLINE READING ONLY
              3.  Eleza jinsi sera za kikoloni zilivyochangia katika mabadiliko ya maadili
                 ya jamii za Kitanzania.

              4.  Eleza athari za dini za kigeni katika mila na desturi za jamii za Kitanzania.

              5.  Nini athari za mfumo wa elimu ya kikoloni katika maadili ya Kitanzania.

              6.  Eleza  matokeo  ya muda mrefu ya ukoloni kwa maadili  ya jamii  ya
                 Kitanzania.

              7.  Fafanua mbinu mbalimbali zilizotumiwa na jamii za Kitanzania kupinga
                 mifumo iliyokuwa inaathiri maadili yao wakati wa ukoloni.
















































                                                  41




                                                                                        03/10/2024   18:15:11
   HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI F2.indd   41
   HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI F2.indd   41                                         03/10/2024   18:15:11
   44   45   46   47   48   49   50   51   52   53   54