Page 96 - Historia_Maadili
P. 96

Zoezi la  marudio



            1.  Eleza jinsi tabaka jipya la mabepari uchwara lilivyoathiri umoja na maadili
                ya kitaifa baada ya uhuru.
        FOR ONLINE READING ONLY
            2.  Fafanua mikakati  iliyochukuliwa  na serikali baada ya uasi wa jeshi wa
                Januari 1964 ili kuimarisha usalama wa taifa.


            3.  Fafanua umuhimu wa sera na mifumo ya kisiasa iliyoanzishwa mara baada
                uhuru katika maendeleo ya kiuchumi na kisiasa kwa Tanzania ya sasa.

            4.  Eleza faida za Tanganyika kuwa Jamhuri.

            5.  Ni kwa jinsi  gani  ngoma  na  nyimbo  za  jadi  zinaweza  kutumika  katika
                kujenga maadili na umoja wa kitaifa wakati wa sasa?

            6.  Ni maadili gani yalijengwa na kukuzwa wakati wa ujenzi wa taifa, 1961
                hadi 1966?


            7.  Ni njia gani bora zinazoweza kutumika kujenga na kuimarisha umoja wa
                kitaifa wakati wa sasa?

            8.  Pendekeza mikakati ya kuendelea na ujenzi wa taifa la Tanzania wakati wa
                sasa.


































                                                  88




                                                                                        03/10/2024   18:15:19
   HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI F2.indd   88
   HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI F2.indd   88                                         03/10/2024   18:15:19
   91   92   93   94   95   96   97   98   99   100   101